Majaliwa ameyasema hayo jana Bungeni mjini Dodoma katika vikao vinavyoendelea vya bunge hilo.
Majaliwa amewahakikishia watanzania na kuwataka kuziunga mkono timu zote za Taifa zinazopeperusha bendera ya taifa hilo kwenye michuano ya kimataifa na zile za vilabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |