Jumla ya wachezaji 66 kutoka mataifa 12 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano hayo makubwa kwa vijana barani Afrika.
Kati ya wachezaji hao, wachezaji 35 ambao wanafahamika kama Judoka, ni wanaume huku wanawake wakiwa ni 31.
Mataifa yanayoshiriki ni pamoja na Algeria, Djibouti, Misri, Gambia, Cote d'Ivoire, Madagascar, Morocco, Senegal, Afrika Kusini, Tunisia, Zambia na Zimbabwe.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |