Hull City ambayo inashiriki ligi daraja la pili EFL nchini Uingereza wanatarajiwa kuwasili nchini Kenya leo kwa mechi hiyo ya kirafiki itakayochezwa jumapili katika uwanja wa Kasarani.
Mwaka uliopita Hull City iliochezesha vijana wadogo iliishinda timu Kenya All Star 2-1 nchini Uingereza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |