Kocha huyo aliyeinoa Arsenal kwa miaka 22 anatarajiwa kubaki katika nafasi ya uongozi ndani ya klabu hiyo aliyojiunga nayo mwaka 1996.
Wenger atakuwa kwenye benchi kuiongoza Arsenal katika mchi zake 2 za mwisho dhidi ya Leister City na Hudderfield Town.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |