Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang amesema, China inapongeza maendeleo mazuri yaliyopatikana katika maandalizi ya mkutano wa viongozi wa Korea Kaskazini na Marekani, na kutarajia kuwa mkutano huo uatapata mafanikio makubwa na kufanya peninsula ya Korea iwe sehemu isiyo na silaha za nyuklia.
Rais Donald Trump wa Marekani jana usiku alitangaza kuwa atakutana na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un Juni 12 nchini Singapore.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |