Barcelona ambayo haikuwa na Messi ilifungwa magoli 5-4 na Levante katika mechi yake ya 37 na ikiwa imesaliwa na mechi moja mkononi.
Mechi za mwisho katika ligi kuu ya Hispania itakuwa Mei 20 na 21 ambapo Barcelona itacheza dhidi Real Sociedad.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |