Wakati wa ziara yake, Bw. Liu He ataendelea na mazungumzo na kundi la Marekani linaloongozwa na waziri wake wa fedha Bw. Steven Mnuchin kuhusu suala la uchumi na biashara kati ya nchi hizo mbili.
Bw. Lu Kang amesema kuwa, China inapenda kushirikiana na Marekani kufanya juhudi kuhimiza mazungumzo hayo kupata matokeo mazuri na ya kiujenzi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |