Kwa mujibu wa wataalamu wa hesabu ya mapato, mechi ya kirafiki kati ya Gor Mahia ya Kenya na Hull City ya uingereza imekusanya jumla ya shilingi milioni 3.6 kutokana na viingilio ikiwa ni rekodi ya kipekee na kwa mechi za kirafiki pia.
Kwenye mechi hiyo iliyopigwa katika uwanja wa Kasarani, Hull City walishinda kwa magoli 4-3 yaliyopatikana kwa njia ya penati baada ya dakika 90 za kawaida kumalizika matokeo yakiwa sare ya 0-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |