Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani amesema Tanzania iko mbele asilimia 80 katika maendeleo ya utekelezaji wa bomba la mafuta ghafi. Alisema kwa upande wa Uganda wako asilimia 20.
Alisema mradi huo ulianza utekelezaji kwenye jiwe la msingi na sasa utekelezaji wake utaanza.
Waziri Kalemani alisema tayari wamefanya mkutano wa tathimini na hatua zilizofikiwa kwa nchi mbili, ambapo mkutano huo uliwahusisha mawaziri akiwemo Waziri wa Nishati.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |