Kati ya watengenezaji 19 wa vyuma ni kampuni tatu tu zitakazouza bidhaa zao kwa mradi huo baada ya nyingine kujiondoa kwa kutotimiza viwango.
Mradi huo mkubwa utatekelezwa na kampuni ya China tya China Harbour Engineering.
Mratibu wa mradi huo wa SGR Kasingye Kyamugambi, amesmea wanakubwa na changamoto ya jinsi ya kutekeleza sera ya kutenga asilimia inayotakiwa ya chuma, saruji na changarawe kutoka kwa wauzaji wa ndani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |