• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yafanya maadhimisho makubwa ya miaka 40 tangu ya sera ya mageuzi na kufungua mlango
    Habari
    v Xi Jinping asema China hairuhuru kamwe ardhi yake kufarakanishwa
    v Xi Jinping asisitiza umuhimu wa uongozi wa chama kwa majeshi
    v China yapaswa kuendelea kuboresha sifa ya mfumo wa China
    v China yapaswa kuendeleza ujamaa wenye umaalum wa kichina
    v Uvumbuzi ni uhai wa sera ya mageuzi na kufungua mlango
    More>>
    Maelezo
    v Watu waipongeza China kwa kupata maendeleo makubwa katika uchumi wa kidijitali

    Ikiwa imetimia miaka 40 tangu China ianze kutekeleza sera ya mageuzi na ufunguaji mlango, mkutano wa kwanza wa kilele wa kujenga China ya kidijitali umefanyika huko Fuzhou, kusini mashariki mwa China. Washiriki wa mkutano huo wanaona mkutano huo utaifahamisha zaidi dunia kuhusu maendeleo iliyopata China katika sekta ya uchumi wa kidijitali katika miaka ya hivi karibuni, kuhimiza mawasiliano na mabadilishano ya uzoefu kati ya China na nchi za nje na kuimarisha zaidi ushirikiano.

    v Rais wa China asema daima China haitasitisha mageuzi yake

    Leo asubuhi, rais Xi Jinping wa China amekutana na wakurugenzi wa sasa na wajao wa Baraza la Asia la Boao, na kuzungumza na wajasiriamali wa ndani na nje ya China wanaohudhuria mkutano wa mwaka 2018 wa Baraza hilo huko Boao, mkoani Hainan.

    v China yatangaza hatua nne za kufungua zaidi mlango wake kwa nje

    Leo asubuhi, mkutano wa mwaka wa 2018 wa Baraza la Asia la Boao umefunguliwa huko Boao, mkoani Hainan, China. Rais Xi Jinping wa China ametoa hotuba akitangaza hatua nne muhimu zinazolenga kuimarisha ufunguaji mlango wa China kwa nje zaidi.

    More>>
    Picha

    China yafanya maadhimisho makubwa ya miaka 40 tangu ya sera ya mageuzi na kufungua mlango

    Maonyesho kuhusu mageuzi na kufungua mlango ya China yazinduliwa

    "Uvumbuzi wa China" unaendana na maendeleo ya viwanda vya watu binafsi

    Rais wa China ataka kujenga taifa lenye nguvu kwenye mtandao

    China yajitahidi kuboresha sifa za bidhaa

    Rais Xi Jinping asema China haitafunga mlango wake
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako