• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yarusha satelaiti kuchunguza upande wa mbali wa sayari ya mwezi

    (GMT+08:00) 2018-05-21 09:03:29

    China imerusha satelaiti inayounganisha mawasiliano kati ya dunia na chombo cha kuchunguza sayari ya mwezi cha Chang'e No. 4, ambacho kitachunguza upande wa mbali wa sayari hiyo ulioko kizani. Satelaiti hiyo iitwayo Queqiao, imerushwa mapema leo kwa kutumia roketi aina ya Long March-4C kutoka kwenye kituo cha kurushia satelaiti cha Xichang, kusini magharibi mwa China.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako