Mwakyembe ameeleza hayo punde kwenye Ukumbi wa Mikutano wa JK Nyerere uliopo jijini Dar es Salaam ambapo wanachama wa klabu hiyo wameitisha mkutano mkuu wa dharula kwa ajili ya maboresho ya katiba yao.
Aidha Mwakyembe amesema serikali imeruhusu rasmi mabadiliko hayo kwa kuzingatia Mwekezaji lazima awekeze kwa asilimia 49 na wanachama wasalie na 51.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |