Matokeo hayo yameitoa Tanzania iliyokuwa inawania tiketi hiyo kwa kufungwa jumla ya magoli 6-2. Mali sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Cameroon na Uganda katika hatua ya mwisho ya mchujo kuelekea Niger mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |