Chelsea imetwaa ubingwa huo kwa kuifunga Man United kwa goli 1-0, goli pekee la Chelsea likifungwa na Eden Hazard dakika ya 22 kwa mkwaju wa penati na kuwafanya Man United wakiondoka Wembley vichwa chini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |