Jezi ya timuya Taifa ya Nigeria Super Eagle imetengenezwa na kampuni ya Nike imeanza kununuliwa kwa kasi.
Kampuni hiyo tayari imepokea oda milioni 3 ya kutengeneza jezi j=hizo na inakadiriwa hadi michuano ya kombe la dunia itakapomalizika watakuwa wametengeneza jumla ya jezi milioni 582 za Nigeria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |