Kwingineno mdudu wa timua timua na hamahama anaendelea kuonekana baada ya timu karibu zote za ulaya kumalizi misimu ya ligi.
Kocha wa zamani wa Chelsea na Real Madrid Carlo Ancelotti ametangazwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Napoli, akichukia nafasi ya Maurizio Sarri anayeachana na klabu hiyo. Sarri ametangazwa kuwa mrithi wa Antonio Comte ambaye mkataba wake na Chelsea umefika mwisho.
Kocha wa zamani wa Man City Manuleo Pellegerini kutoka Chile, alisafiri kutoka hapa China baada ya kuacha kazi yake huko Hebei, kwenda kukamilisha taratibu za kuchukua mikoba ya David Moyes anayeagana na klabu ya Wesham baada ya mkataba wake kwisha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |