Katika taarifa iliyotolewa kutoka ikulu,ni rasmi sasa mafuta ya Kenya yataingia kwenye biashara ya kimataifa .
Mradi huu wa mafuta kutoka Turkana utazalisha mapipa elfu 2 kwa siku na katika majaribio zaidi ya mapipa elfu 70 yalipatikana.
Mafuta hayo yatahifadhiwa na kampuni ya mafuta ya Kenya petroleum kabla ya kusafirishwa hadi nchi ya nje.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |