Wachezaji wakongwe Jelena Ostapenko wa Latvia na mwenzake Venus Williams wa Marekani wameondolewa kwenye raundi ya katika michuano ya tennis ya Ufaransa baada ya kila mmoja wao kufungwa jana.
Jelena alifungwa na mwanadada Kateryna Kozlova wa Ukraine kwa seti ya alama 7-5 6-3, huku Williams ambaye ni namba tisa kwa Ubora akifungwa na Wang Qiang kutoka China ambaye ni namba 91 kwa ubora.
Michuano hiyo iliyoanza jana inatarajiwa kumalizika Juni 10 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |