• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Marekani kutoza ushuru wa chuma cha pua na alumini dhidi ya Umoja wa Ulaya

    (GMT+08:00) 2018-05-31 09:10:48

    Serikali ya Marekani inapanga kutoza ushuru wa adhabu kwa bidhaa za chuma cha pua na alumini zilizoingizwa kutoka Umoja wa Ulaya. Kwa mujibu wa gazeti la Wall Street Journal, Marekani inatarajiwa kutangaza hatua hiyo leo hii, ambayo gazeti hilo limesema ni hakika kuwa Umoja wa Ulaya utaijibu kwa hatua za kukipiza kisasi ikiwemo kutoza ushuru dhidi ya bidhaa za Marekani kama vile pikipiki, nguo za jeans na pombe ya Bourbon. Wiki iliyopita serikali ya Marekani pia ilianzisha uchunguzi wa usalama wa taifa dhidi ya vipuri vya magari, ambao unaweza kufanya kuongezwa kwa ushuru dhidi ya magari yanayoingizwa kutoka Ulaya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako