Ikulu ya Italia imesema profesa Giuseppe Conte ameteuliwa kuwa waziri mkuu mpya wa Italia, na serikali yake ya umoja itaapishwa saa kumi leo alasiri kwa saa za huko. Baada ya kuteuliwa kuchukua wadhifa huo, Bw. Conte amesema serikali yake y itatoa kipaumbele katika kuboresha maisha ya watu wa Italia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |