Idara ya anga za juu ya China CNSA imesema inapanga kurusha satelaiti 11 zaidi za hali ya hewa kabla ya mwaka 2025, ili kuboresha usahihi wa utabiri wa hali ya hewa na kuimarisha uwezo wa kukabliana na majanga ya asili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |