Kocha mkuu mpya wa klabu ya Arsenal Unai Emery amekamilisha usajili wake wa kwanza baada ya yimu yake kusaini mkataba na beki wa zamani wa Juventus Stephan Lichtsteiner raia wa Uswisi.
Nayo Man United jana imekamilisha zoezi la kumsajili mchezaji wa nafasi ya kiungo wa kutoka Brazil Fred kutoka katika klabu ya Shakthar Donetsk ya Ukraine na sasa timu hiyo inakamilisha taratibu za kumsajili beki Dalot kutoka FC Porto.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |