Wanafunzi milioni 9.75 wameshiriki kwenye Mtihani wa taifa wa kujiunga na vyuo vikuu nchini China ulioanza rasmi leo asubuhi.
Idadi hiyo imeongezeka kwa laki 3.5 kuliko mwaka jana, na kuwa kubwa zaidi katika miaka nane iliyopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |