Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema Ethiopia imepokea wakimbizi zaidi ya elfu 29 katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka huu, idadi ambayo imefanya idadi ya wakimbizi nchini humo kufikia zaidi ya laki 9.2, na kuifanya Ethiopia kuwa nchi ya pili inayowapokea wakimbizi kwa wingi barani Afrika baada ya Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |