Rais Xi Jinping amesema China inapenda kushirikiana na Kazakhstan kutangulia katika ujenzi wa jumuiya ya binadamu yenye mustakabali wa pamoja, na kushirikisha watu wenye busara na nguvu ili kuanzisha mustakabali mzuri zaidi.
Tarehe 7 Juni, rais Xi Jinping alimwandalia hafla ya kumkaribisha rais Narsutan Nazarbaev wa Kazakhstan kwenye uwanja ulioko mashariki ya jumba la mikutano la umma hapa Beijing.
Mwezi Juni mwaka 2017, kwenye jumba la China la Maonesho ya kimataifa ya Astana, rais Xi Jinping akimwalika rais Nazarbaev kujaribu kuendesha treni ya kasi kwenye mfano wa treni.
Mwezi Juni mwaka 2017, kwenye jumba la China la Maonesho ya kimataifa ya Astana, rais Xi Jinping na rais Nazarbaev wakizindua njia ya usafirishaji kati ya China na Kazakhstan
Treni iliyobeba ngano kutoka Kazakhstan ikiingia kwenye kituo cha usambazaji wa bidhaa mjini Lianyungang, China.
Kundi la pamoja la wapiga filamu na waigizaji kutoka China na Kazakhstan la filamu ya Wanamuziki
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |