• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Biashara ya nje ya China yaongezeka kwa asilimi 8.8 katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka huu

    (GMT+08:00) 2018-06-08 17:01:03

    Biashara ya nje ya China imeongezeka kwa asilimia 8.8 katika miezi mitano ya mwanzo ya mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana kipindi kama hicho, na kufikia dola za kimarekani trilioni 1.82.

    Takwimu zilizotolewa na Idara ya Forodha ya China zimeonyesha kuwa, uuzaji wa bidhaa kwa nje nchini China uliongezeka kwa asilimia 5.5 katika kipindi cha mwezi Januari hadi Mei mwaka huu, huku uagizaji wa bidhaa ukiongezeka kwa asilimia 12.6.

    Idara hiyo imesema, katika miezi mitano ya mwanzo ya mwaka huu, uagizaji na uuzaji wa bidhaa chini ya kipengele cha biashara iliongezeka kwa asilimia 12.7 ikilinganishwa na mwaka jana kipindi kama hicho.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako