Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amekwenda nchini Uganda ambako atafanya ziara rasmi ya siku mbili.
Hivi karibuni, ikulu ya Uganda ilitangaza kuwa, Bw. Ahmed, ambaye anatarajiwa kukutana na rais Yoweri Museveni wa Uganda ambapo watafanya majadiliano kuhusu masuala ya pande mbili na ya kikanda, kesho atapewa medali ya "Tunu ya Afrika" katika hafla ya kuwasherehekea mashujaa wa Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |