Rais Donald Trump wa Marekani amewasili Singapore kwa ajili ya mkutano unaotarajiwa kufanyika kesho kati yake na kiongozi wa Korea Kaskazini Bw. Kim Jong-Un.
Taarifa iliyotolewa Jumamosi na wizara ya mambo ya nje ya Singapore inasema Bw. Kim Jong-Un pia amewasili nchini humo. Hii itakuwa ni mara ya kwanza katika historia kwa viongozi wa nchi hizo mbili kukutana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |