Mamlaka ya Mapato ya Kenya imesema bidhaa gushi hazikubaliki nchini.
Meneja wa utekelezaji wa Shirikisho la kupambana na bidhaa bandia Linsey Kipkemoi amesema nchi inaumia na bidhaa bandia ambazo hazipaswi kuwa kwenye soko.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |