• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Baraza la usalama la Umoja wa mataifa larefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    (GMT+08:00) 2018-06-12 09:08:03

    Baraza la usalama la Umoja wa mataifa limepitisha uamuzi wa kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Libya kwa mwaka mmoja zaidi. Kupitia mswada wa azimio Nambari 2420 ulioandaliwa na Uingereza, baraza hilo limeamua kurefusha muda wa vikwazo hivyo vilivyowekwa mwezi Juni mwaka jana. Kwa mujibu wa azimio hilo, nchi wanachama wa Umoja wa mataifa zimepewa mamlaka kukagua meli kwenye bahari kuu zinazitia shaka zikitoka au kuelekea Libya, na kukamata na kushughulikia silaha zinazogunduliwa kwenye meli hizo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako