Baraza la makabwela la Bunge la Uingereza limethibitisha Machi 29 mwaka kesho kuwa tarehe ya Uingereza kujitoa rasmi Umoja wa Ulaya, baada ya kukataa mswada wa Baraza la mabwanyeye kubadilisha tarehe hiyo. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Waziri mkuu wa Uingereza Bibi Theresa May kupinga kubadilisha tarehe ya Brexit.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |