Kwa mujibu wa waandaji wamesema madreva wataoshiriki ni kutoka Uganda, Burundi na mwenyeji Rwanda, na yatakuwa ya kilomita 290.
Haya ni mashindano ya 35 ya magari na ni ya pili kwa ukubwa baada ya mashindano ya magari ya taifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |