Shambulizi hilo limelenga kuharibu kituo cha kijeshi katika wilaya ya Hiry, kusini mashariki mwa mji wa al-Bukamal, Deir al-Zour. Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kufanya shambulizi la anga nchini humo, hasa katika jimbo hilo.
Habari zinasema, serikali ya Syria inaendelea kulaani mashambulizi hayo yanayoongozwa na Marekani, na kusema yanalisaidia kundi la IS jimboni Deir al-Zour ambako limedhibiti maeneo kadhaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |