Katibu Mkuu wa chama hicho Ahmedi Abdalla amesema baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano ya UMISETA mwaka huu na kuwa mabingwa kuna haja ya kuungwa mkono mchezo huo.
Aidha kwa upande mwengine ameelezea vipaumbele vyao kwa mchezo huo wa mpira wa Meza ni kuanza kwa vijana kuwapa mafunzo na semina za wakufunzi ili kukuza mchezo huo Zanzibar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |