baada ya miaka 37 toka tukio kama hilo litokee 1979, Iran ni miongoni mwa baadhi ya nchi za kiharabu ambazo haziruhusu wanawake kwenda uwanjani.
Iran wameambulia kipigo cha goli 1-0, goli pekee la Hispania lilifungwa na Diego Costa dakika ya 54, pamoja na Iran kuongeza nguvu ya mashabiki wake wa kike uwanjani lakini haikusaidia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |