Timu ya Simba wao wameibuka mshindi wa tatu kwa kuwabwaga Azam fc kwa jumla ya penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1. Huu ni muendelezo mzuri kwa timu za mtibwa baada ya timu ya wakubwa kutwaa ubingwa wa shirikisho la soka Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |