Katibu wa mashindano hayo amesema maandalizi yamekamilika ikiwemo ukaguzi wa viwan ja vitakavyotumika, waamuzi, miundombinu. Huku akitaja timu 64 zitashiriki kutoka kila kanda za Unguja na Pemba.
Mashindano hayo yatakuwa ya mtoano na yatafunguliwa rasmi kesho jumamosi kwa mechi kati ya Jang'ombe na Dulla Boys.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |