michuano hiyo ambayo itaanza kwa wachezaji wa kulipwa na wachezaji wasaidizi huku Jumamosi na jumapili ikisalia kwa wachezaji wa ridhaa.
Mashindano hayo yatashirikisha wachezaji wa ridhaa na wa kulipwa katika makundi yote ikiwemo wanawake wazee na watoto sambamba na wachezaji wasaidizi ambao watapata nafasi katika siku ya kwanza ya mashindano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |