• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Chipukizi Didier Munyaneza ashinda ubingwa wa taifa

    (GMT+08:00) 2018-06-25 09:28:20

    Didier Munyaneza mwenye miaka 20 ameshinda taji la mwaka huu la mbio za baiskeli za nchini Rwanda zilizomalizika jana mjini Kigali.

    Munyaneza alitumia saa 3 dakika 55 na sekunde 12 kwenye umbali wa kilomita 150 wenye mizunguko 12, akimshinda kwa sekunde 2 tu Mathew Twizerane aliyeshinda nafasi ya pili.

    Awali ushindi wa mbio hizo ulitazamiwa kwenda kwa mabingwa wa kimataifa Joseph Areruya na Bonaventure Ewiyezimana ambao nao walishiriki mashindano hayo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako