Tarehe 23 Juni asubuhi, vijana zaidi ya 200 wanaohudhuria tamasha la vijana wa China na Afrika walitembelea ukuta mkuu sehemu ya Juyongguan, kaskazini mwa Beijing. Mchana walitembelea kasri la kifalme, na kujionea historia, utamaduni na mtindo wa jadi wa majengo ya China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |