• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Mashirika ya serikali ya pambana na bidhaa bandia

    (GMT+08:00) 2018-06-25 19:44:59

    Kuondolewa ma hatimaye kuharibiwa kwa bidhaa ghushi zenye thamani ya Sh bilioni 1.2 wiki hii inapaswa kuelezea uzito wa Kenya katika kupambana na bidhaa bandia.

    Mashirika yanayo pigana na uigiaji wa bidhaa bandia wanalaumiwa kuinyima Kenya zaidi ya Sh bilioni. Ofisi ya Viwango ya Kenya (Kebs) sasa imezindua uchunguzi juu ya uvunjaji wa stempu na ameahidi kutoa ripoti ya umma hivi karibuni.

    Shirika inayoshughulika na bidhaa bandia nchini imesema vitu vingi vya nyumbani vilizonunuliwa katika tovuti za ununuzi kama vile vipodozi, sigara na vinywaji vyenye pombe ni bandia

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako