Magoli ya simba yalipatikana kupitia, Adam Salamba kunako dakika ya 76, jingine likipatikana katika dakika ya 91 kupitia Meddie Kagere kwa njia ya penati.
Kwenye mechi hiyo, APR ndiyo walikuwa wa kwanza kupata goli katika kipindi cha kwanza kupitia Nkinzi Fiston.
Simba sasa inafikisha alama 6 kwenye kundi C sawa Singida united lakini zikitofautiana wingi wa magoli.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |