Habari hiyo imetolewa na ofisi ya Habari ya Real Madrid FC imekanusha vikali habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa kuwa imeingia makubaliano na Mbappe kwa du la pauni milioni 240.
Kwa mujibu wa habari hiyo, Real Madrid inaheshimu mustakabali wa mchezaji huyo ambaye kwa sasa ambaye aatumikia klabu ya PSG kwa mkopo akitokea klabu ya Monaco.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |