Taarifa kutoka nchini Hispania zinaeleza kuwa Rosell ambaye yuko rumande aliidhinisha fedha kwa ajili ya kununua ini jipya ili kulipandikiza kwa Abidal.
Baada ya Rosell, mahakama nchini Hispania inafanya uchunguzi wa taarifa hiyo kuhusu Rosell na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo Abidal ambaye yupo kwenye benchi la ufundi la klabu hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |