Neymar,26, anadaiwa kumhadaa mwamuzi kwa kuonyesha kuwa alitendewa vibaya sana na Miguel Layun wa Mexico kwa kumkanyaga kwenye kifundo cha mguu.
Kocha wa Mexico Juan Carlos Osorio alisema kitendo alichokiita cha kuigiza cha Neymar si mfano mzuri katika mchezo wa mpira wa miguu.
Kocha wa Brazil, Tite alimtetea mchezaji wake akisisitiza kuwa ni kweli Layun ''alimkanyaga''.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |