Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang leo asubuhi ameondoka Beijing na kuanza ziara rasmi nchini Bulgaria na Ujerumani.
Akiwa nchini Bulgaria, Bw. Li Keqiang atahudhuria mkutano wa saba wa viongozi wa China na nchi za Ulaya ya katikati na mashariki, na baadaye atafanya ziara nchini Ujerumani na kuongoza duru ya tano ya mazungumzo kati ya serikali za China na Ujerumani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |