Mashindano hayo yamefanyika mjini Monduli Arusha, nje kidogo ya mji wa Arusha kwa kushirikisha magari 14, kati yao ni magari 9 pekee ndio yalifanikiwa kumaliza .
Nafasi ya pili ilikwenda kwa watanzania Gurjit Singh akiwa na msoma ramani wake Shameer Yusuph wakimaliza kwa kutumia saa 1:37:27 huku nafasi ya tatu ikienda pia kwa watanzania Dharam Pandya na msaidizi wake Mosses Matovu waliomaliza kwa saa 1:44:10.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |