Michuano hiyo itakayoanza kesho, huku Uganda itakutana na timu za Tanzania, Kenya na Rwanda.
Roger Mukasa nahodha wa timu hiyo aliambia shirika la habari la China Xinhua kuwa, wamejiandaa vizuri na wanauhakika watafanikiwa kufuzu.
Timu mbili zitawakilisha Afrika Mashariki katika michuano ya Afrika ya kufuzu kombe la dunia la Kriketi ya mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |