Timu zote mbili zipo kwenye vuwango bora, lakini Uruguay ambao ni mabingwa wa kombe la dunia mwaka 1930 na 1950 wanaonekana kuwa na rekodi nzuri zaidi baada ya kushinda mechi zote kwenye hatua ya makundi, huku Ufaransa mabingwa wa mwaka 1998, wakishinda mechi mbili na kutoka sare moja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |